Karibu katika blog yetu ujifunze kingereza fasaha kwa mda mfupi.Kwa mtu mzima ambaye hukufanikiwa kujifunza kingereza fasaha ukiwa shuleni na Sasa una majukumu yako ya kukuingizia pesa,Sasa utaweza kusoma online pasipo kukaa darasani.
Kwa gharama nafuu kabisa utaweza kusoma ukiwa kwenye gari,njiani,mgahawani na popote pale,upatapato nafasi kwa kutumia smartphone yako pekee.
Asanteni
ReplyDelete